Jumatano, Machi 26.

May 5, 2016

LOGO

...

Mar 28, 2016

ASKOFU: KANISA LINAPASWA KUJICHUNGUZA NA KUJIREKEBISHA KUTOKANA NA UOZO.

Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Valentino Mokiwa. Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Valentino Mokiwa amewaonya wakristu dhidi ya mambo ambayo yanaelekea kulibomoa kanisa. Ameyasema hayo leo kwenye Ibada ya Pasaka ya kitaifa iliyofanyika Kanisa la Mtakatifu Albano Upanga jijini Dar es Salaam ambako pia Mkuu wa Mkoa Paul Makonda amehudhuria. Askofu Mokiwa ameyaita mambo hayo yanayolibomoa kanisa kama mawe na kuyataja kuwa...

Israel imeua watoto 50 Wapalestina tokea Oktoba

Wanajeshi wa Utawala haramu wa Israel wameua watoto 50 Wapalestina tokea Oktoba mwaka jana, wakati ilipoanza Intifadha au mwamko mpya wa Palestina.    Kwa mujibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kutetea Watoto- Tawi la Palestina, ukosefu wa uchunguzi huru...

'Kampeni za urais zinaiaibisha Marekani'

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amekiri kuwepo utovu wa nidhamu katika kampeni za uchaguzi wa rais nchini humo na kusema jambo hilo limepelekea Marekani kuaibika kimataifa. Katika mahojiano na kanali ya televisheni ya CBS, Kerry amesema, "kila mahala...

Mar 25, 2016

Ushindi wa UPDP Ziwani Pemba waota mbawa

Afisa mdhamini wa tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC), Ali Mohamed Dadi amesema mshindi wa uwakilishi katika jimbo la Ziwani ni Suleiman Ali wa CCM na si Asaa Hamad wa UPDP ambae alitangazwa awali. Dadi kutoka ofisi ndogo ya Pemba alisema jana kuwa msimamizi wa uchaguzi katika wilaya ya...

CCM WANAKUOGOPA MAALIM SEIF; JAKAYA KIKWETE

  Maalim Seif Shariff Hamad, Mgombea wa Urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka jana kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amesema CUF haitashiriki uchaguzi wowote chini ya Tume ya Jecha Salim Jecha, anaandika Josephat Isango. Akizungumza na MwanaHALISI Online Hoteli ya Serena ambapo yupo kwa mapumziko baada ya kulazwa, Maalim Seif amesema kuwa kama yatatokea maridhiano yatakaoongozwa na kusimamiwa na taasisi huru za kidemokrasia, ...

Wazazi mbaroni kwa kuozesha wanafunzi polisi mkoani Mwanza inawashikilia wazazi wawili kwa tuhuma za kuwaozesha kwa wanaume watoto wao wa kike waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu. Hatua ya kukamatwa kwa wazazi hao, Josefine Benjamin na Athuman Haruna wakazi wa Kata ya Igogo jijini hapa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga kwa watendaji wa kata zote kufanya tathmini ili kubaini...

MKUU WA KANISA KATOLIKI AWAOSHA MIGUU WANAODAIWA KUA NI WAISLAMU KUELEKEA SIKUKUU YA PASAKA.

Mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameosha miguu ya wahamiaji waislamu mjini Rome katika tukio la unyenyekevu linaloambatana na itikadi ya kuanza kwa msimu wa Pasaka.Papa Francis alitembela makao ya wahamiaji, mjini Roma na kuendesha misa ya kuanza kwa msimu wa pasaka.Ziara yake katika kituo hicho cha kutathmini uhalali wa wahamiaji cha (Castelnuovo di Porto), inawadia huku uhasama na taharuki ikienea kote barani ulaya kuhusiana...

Mar 22, 2016

WAZIRI MKUU AMUAGIZA CAG KUKAGUA BANDARI, CRDB

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Machi 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali aende Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ili akague taarifa za mapato ambazo zilikuwa zikilipwa na mawakala wa forodha na bandari...

Salma said: Hivi ndivyo nilivyotekwa

NA WAANDISHI WETU,DAR ES SALAAM MWANDISHI wa habari wa Shirika la Utangazaji la Ujerumani  (DW) na Mwakilishi wa Mwananchi Communications, Salma Said Humud, jana aliibuka na kusimulia jinsi alivyotekwa na watu wasiojulikana alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Baraza la Habari Tanzania (MCT) jana, Salima alisimulia...