Habari za hivi punde zinasema kuwa Mhe Salmin awadh muwakilishi wa magomeni amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla akiwa katika shughuli za kichama.
Inalilahi waina ilayhi rajiun
Tutajuzana zaidi
APOKEA KICHAPO HEVI
AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA
NJEMBA mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo
amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa
kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
0 comments:
Post a Comment