Wanachama wa
Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Mkuu wa chama cha wananchi maalim self sharif hamad,alipokua ana wahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho kwa kukipa ushindi.
Amesema juhudi zenu za kuwadhihiti mapandikizi wakati wa kuandikisha, na wakati wa kupiga kura, ndiyo zilizoipatia ushindi chama chetu.
Ndugu wananchi napenda mufahamu kwamba CCM haiwezi kushinda bila ya kutumia mapandikizi,wakati wa kujiandikisha na wakati wa kupiga kura.
Aliendelea kusema kwamba ninazo taarifa,muliwadhibiti vilivyo hawa mapandikizi na mumekua ni mfano mkubwa katika Mkoa wa Dar es salaam,kwa kweli nawapongeza kwa hili.mwisho wa kumnukuu.
Aidha aliwaasa wananchi na wanachama wa CUF kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili wawe na haki ya kuchagua viongozi wao katika uchaguzi utakaofanyika Mwishoni mwa mwaka huu.
Mkutano huo ulifanyika jioni hii na kuhudhuria na mamia ya wapenzi wa chama hicho
0 comments:
Post a Comment