Watu 20 wamejeruhiwa na nyumba
18 kuchomwa kwenye mapigano ya kidini katika mkoa wa Ghardaia kilomita
600 hivi kutoka mji mkuu Algiers nchini Algeria.
Polisi wamewakamata watu
15 kuhusiana na tukio hilo la mgogoro kati ya jamii za Chaamba ambao ni
waarabu na waislamu wa Mozabite Berbers.
0 comments:
Post a Comment