Nov 18, 2014

KIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAWASILI

Kivuko kipya cha MV Dar es Salaam-Bagamoyo.
 
KIVUKO kipya kinachotegemea kufanya safari kati ya Jiji la Dar es Salaam na Bagamoyo kimepokelea leo na Waziri wa Ujenzi,John Magufuli katika Bandari ya Dar es Salaam.
Kivuko hicho mabacho kitakuwa kikipita katika vituo saba kati ya miji hiyo mwili, kimefungwa vyombo vya kuongozea vya kisasa (Navigational Equipment) vikiwemo GPS Compass, Automatic Identification System (AIS), Radar, Echo Sounder, CCTV Cameras na kina vyombo vya kutosha vya kuokolea watu kama ‘life jackets’, ‘life bouys’ na ‘life rafts’.
Akizungumza na GPL, Waziri Magufuli alisema” “Kuanza kwa kivuko hiki kutasaidia kwa kiasi kupunguza foleni kwa wakazi wa jijini la Dar es Salaam, kwani kina uwezo wa kubeba abiria 300 kwa kukaa.
DAKTARI APIGA WAGONJWA WILAYANI NGARA Picha kutoka maktaba ya Rorya Kwetu Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho. Wakizungumza na wanahabari kituoni hapo, wagonjwa hao walidai kuwa Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie aliwapiga wagonjwa na jamaa zao akiwataka wafanye usafi, huku wengine wakiwa ni wagonjwa wasiojiweza. Mmoja wa wagonjwa hao, Ester Bonifasi aliyekuwa akipata matibabu katika kituo hicho, alisema kituoni hapo kuna utaratibu wa kuzuia wagonjwa kulia chakula wodini, hivyo walipokutwa wakikiuka utaratibu huo walianza kupigwa na mganga huyo. Alisema mganga na wafanyakazi walianza kuwaburuta waliokuwa ndani ya wodi za wagonjwa na kuamriwa kufanya usafi, huku waliokuwa wakizubaa kutafuta zana za kufanyia usafi huo,walikuwa wakipigwa na watu kukimbia ovyo. Aidha kijana Samweli Gwassa alisema yeye alikamatwa na mganga huyo na kumfungia kwenye chumba maalumu kilichojulikana kuwa ni mahabusu alipokuwa akiegesha baiskeli yake pembeni ili akachukue kwanja.Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie hakutaka kutoa maelezo ya chanzo cha kuwapiga wagonjwa na jamaa zao bali alidai kuwa ili aweze kuongea lazima awe na kibali kutoka kwa mwajiri wake.Hata hivyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, Colnery Ngudungi alisemaKamati ya Afya ya Wilaya itakaa na kujadili changamoto za kituo hicho na uamuzi utakaotolewa atawajulisha wananchi na utoaji huduma unaendelea.

Make Money at : http://bit.ly/copy_win
DAKTARI APIGA WAGONJWA WILAYANI NGARA Picha kutoka maktaba ya Rorya Kwetu Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho. Wakizungumza na wanahabari kituoni hapo, wagonjwa hao walidai kuwa Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie aliwapiga wagonjwa na jamaa zao akiwataka wafanye usafi, huku wengine wakiwa ni wagonjwa wasiojiweza. Mmoja wa wagonjwa hao, Ester Bonifasi aliyekuwa akipata matibabu katika kituo hicho, alisema kituoni hapo kuna utaratibu wa kuzuia wagonjwa kulia chakula wodini, hivyo walipokutwa wakikiuka utaratibu huo walianza kupigwa na mganga huyo. Alisema mganga na wafanyakazi walianza kuwaburuta waliokuwa ndani ya wodi za wagonjwa na kuamriwa kufanya usafi, huku waliokuwa wakizubaa kutafuta zana za kufanyia usafi huo,walikuwa wakipigwa na watu kukimbia ovyo. Aidha kijana Samweli Gwassa alisema yeye alikamatwa na mganga huyo na kumfungia kwenye chumba maalumu kilichojulikana kuwa ni mahabusu alipokuwa akiegesha baiskeli yake pembeni ili akachukue kwanja.Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie hakutaka kutoa maelezo ya chanzo cha kuwapiga wagonjwa na jamaa zao bali alidai kuwa ili aweze kuongea lazima awe na kibali kutoka kwa mwajiri wake.Hata hivyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, Colnery Ngudungi alisemaKamati ya Afya ya Wilaya itakaa na kujadili changamoto za kituo hicho na uamuzi utakaotolewa atawajulisha wananchi na utoaji huduma unaendelea.

Make Money at : http://bit.ly/copy_win
DAKTARI APIGA WAGONJWA WILAYANI NGARA Picha kutoka maktaba ya Rorya Kwetu Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho. Wakizungumza na wanahabari kituoni hapo, wagonjwa hao walidai kuwa Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie aliwapiga wagonjwa na jamaa zao akiwataka wafanye usafi, huku wengine wakiwa ni wagonjwa wasiojiweza. Mmoja wa wagonjwa hao, Ester Bonifasi aliyekuwa akipata matibabu katika kituo hicho, alisema kituoni hapo kuna utaratibu wa kuzuia wagonjwa kulia chakula wodini, hivyo walipokutwa wakikiuka utaratibu huo walianza kupigwa na mganga huyo. Alisema mganga na wafanyakazi walianza kuwaburuta waliokuwa ndani ya wodi za wagonjwa na kuamriwa kufanya usafi, huku waliokuwa wakizubaa kutafuta zana za kufanyia usafi huo,walikuwa wakipigwa na watu kukimbia ovyo. Aidha kijana Samweli Gwassa alisema yeye alikamatwa na mganga huyo na kumfungia kwenye chumba maalumu kilichojulikana kuwa ni mahabusu alipokuwa akiegesha baiskeli yake pembeni ili akachukue kwanja.Mganga Mkuu wa kituo hicho, Fred Nyangosie hakutaka kutoa maelezo ya chanzo cha kuwapiga wagonjwa na jamaa zao bali alidai kuwa ili aweze kuongea lazima awe na kibali kutoka kwa mwajiri wake.Hata hivyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, Colnery Ngudungi alisemaKamati ya Afya ya Wilaya itakaa na kujadili changamoto za kituo hicho na uamuzi utakaotolewa atawajulisha wananchi na utoaji huduma unaendelea.

Make Money at : http://bit.ly/copy_win

0 comments:

Post a Comment