Kijana Kabiru Abubacker Mousa kutoka Nigeria ametangazwa kuwa mshindi wa
kwanza wa mwaka 2013wa mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma
Qurani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka na kushirikisha vijana kutoka
nchi mbalimbali duniani huandaliwa na Taasisi ya King Abdul Aziz
International Qur’an contest.
Kabiru Abubacker Mousa alipewa riyal 100,000 sawa na shilingi milioni
42,900,900 kama mshindi wa tuzo ya kwanza, wakati Mohammed Abdul Kalam
Azad Najm kutoka Bangladesh alishinda Riyal 80,000 (sawa na shilingi
34,320,720) Washindi wengine ni Kareem Abdul Abubacker aliyepata Riyal
60,000 (sawa na shilingi 25,740,540), Ameen Mohammed Aftab Alam kutoka
Saudi Arabia Riyal 30,000 (sawa na shilingi12870270) na Khaled Mohammed
Jobi kutoka Mauritius Riyal 25,000 (sawa na shilingi 10,725,225).
Washindi wa kundi la pili wa kwanza alikuwa, Adel bin Mahmoud Al- Khair
Ghulam kutoka Saudi Arabia 90,000 (sawa na shilingi 38,610,810), wa pili
Ahmed bin Abdullah Al- Khalaf kutoka Saudi Arabia 70,000 (sawa na
shilingi 30,030,630), wa tatu Saeed Ahmed kutoka Bangladesh 50,000 (sawa
na shilingi 21450450) wa nne Mohammed Akram Al- Maleeki kutoka Yemen
25,000 (sawa na shilingi 10,725,225), na wa tano ni Suwayd Bilal Ishaq
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180).
Washindi wa kundi la tatu tuzo ya mshindi wa kwanza ilikwenda kwa Naeem
Balout kutoka Lebanon 80,000 (sawa na shilingi 34,320,720), wa pili
Rakan Ibrahim Khidr kutoka Iraq 60,000 (sawa na shilingi 25,740,540),
watatu Suleiman Abubacker Buji kutoka Nigeria 40,000 (sawa na shilingi
17,160,360), wanne ni Habibullah Sirajul Uislamu kutoka Bangladesh
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180)
watano ni Sham Saeed sham kutoka Tanzania 15,000 (sawa na shilingi
6,435,135).
Aidha, washiriki walipata nafasi kufanya Umra na kutembelea msikiti wa
Mtume masjid Nnabawiy
Akizungumzia mashindano hayo Basfar alisema yanatia moyo kwa vijana
kujifunza kusoma na kuhifadhi Qur'ani na kufuata njia ya maisha
inavyofundisha Qur'an na Sunnah na kuwaweka vijana mbali na vurugu za
kidunia.
Basfar Abdullah, katibu Mkuu wa taasisi ya mashindano ya kuhifadhi
Qur'an ya Kimataifa (IQMO ) aliiambia Arab News kwamba mashindano hayo
ndio mama wa mashindano yote Qurani duniani. Jumla ya washiriki 150
kutoka nchi 61 walishiriki katika mashindano hayo na Waziri wa Mambo ya
Kiislamu Saleh Al- Asheikh ndiye aliyakabidhi zawadi kwa washindi.
Zaidi ya wanafunzi 6,000 kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameshiriki
katika mashindano hayo ya King Abdul Aziz tangu kuanzishwa kwake miaka
35 iliyopita. Wao ni pamoja na Sheikh Abdul Rahman Al- Sudais , mkuu wa
Urais wa misikiti miwili Mtakatifu, na Ali Al- Thubaity , imam na Khatib
wa Msikiti wa Mtume ﷺ katika Madina.
Kushoto waziri wa mambo ya ndani ya kiislamu akimkabithi
mshindi wa pili Ahmed bin Abdullah Al-Khalaf.
Kulia ni Sheikh Abdul Rahman Al-Sudai
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Kijana Kabiru Abubacker Mousa kutoka Nigeria ametangazwa kuwa mshindi wa
kwanza wa mwaka 2013wa mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma
Qurani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka na kushirikisha vijana kutoka
nchi mbalimbali duniani huandaliwa na Taasisi ya King Abdul Aziz
International Qur’an contest.
Kabiru Abubacker Mousa alipewa riyal 100,000 sawa na shilingi milioni
42,900,900 kama mshindi wa tuzo ya kwanza, wakati Mohammed Abdul Kalam
Azad Najm kutoka Bangladesh alishinda Riyal 80,000 (sawa na shilingi
34,320,720) Washindi wengine ni Kareem Abdul Abubacker aliyepata Riyal
60,000 (sawa na shilingi 25,740,540), Ameen Mohammed Aftab Alam kutoka
Saudi Arabia Riyal 30,000 (sawa na shilingi12870270) na Khaled Mohammed
Jobi kutoka Mauritius Riyal 25,000 (sawa na shilingi 10,725,225).
Washindi wa kundi la pili wa kwanza alikuwa, Adel bin Mahmoud Al- Khair
Ghulam kutoka Saudi Arabia 90,000 (sawa na shilingi 38,610,810), wa pili
Ahmed bin Abdullah Al- Khalaf kutoka Saudi Arabia 70,000 (sawa na
shilingi 30,030,630), wa tatu Saeed Ahmed kutoka Bangladesh 50,000 (sawa
na shilingi 21450450) wa nne Mohammed Akram Al- Maleeki kutoka Yemen
25,000 (sawa na shilingi 10,725,225), na wa tano ni Suwayd Bilal Ishaq
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180).
Washindi wa kundi la tatu tuzo ya mshindi wa kwanza ilikwenda kwa Naeem
Balout kutoka Lebanon 80,000 (sawa na shilingi 34,320,720), wa pili
Rakan Ibrahim Khidr kutoka Iraq 60,000 (sawa na shilingi 25,740,540),
watatu Suleiman Abubacker Buji kutoka Nigeria 40,000 (sawa na shilingi
17,160,360), wanne ni Habibullah Sirajul Uislamu kutoka Bangladesh
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180)
watano ni Sham Saeed sham kutoka Tanzania 15,000 (sawa na shilingi
6,435,135).
Aidha, washiriki walipata nafasi kufanya Umra na kutembelea msikiti wa
Mtume masjid Nnabawiy
Akizungumzia mashindano hayo Basfar alisema yanatia moyo kwa vijana
kujifunza kusoma na kuhifadhi Qur'ani na kufuata njia ya maisha
inavyofundisha Qur'an na Sunnah na kuwaweka vijana mbali na vurugu za
kidunia.
Basfar Abdullah, katibu Mkuu wa taasisi ya mashindano ya kuhifadhi
Qur'an ya Kimataifa (IQMO ) aliiambia Arab News kwamba mashindano hayo
ndio mama wa mashindano yote Qurani duniani. Jumla ya washiriki 150
kutoka nchi 61 walishiriki katika mashindano hayo na Waziri wa Mambo ya
Kiislamu Saleh Al- Asheikh ndiye aliyakabidhi zawadi kwa washindi.
Zaidi ya wanafunzi 6,000 kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameshiriki
katika mashindano hayo ya King Abdul Aziz tangu kuanzishwa kwake miaka
35 iliyopita. Wao ni pamoja na Sheikh Abdul Rahman Al- Sudais , mkuu wa
Urais wa misikiti miwili Mtakatifu, na Ali Al- Thubaity , imam na Khatib
wa Msikiti wa Mtume ﷺ katika Madina.
Kushoto waziri wa mambo ya ndani ya kiislamu akimkabithi
mshindi wa pili Ahmed bin Abdullah Al-Khalaf.
Kulia ni Sheikh Abdul Rahman Al-Sudai
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Kijana Kabiru Abubacker Mousa kutoka Nigeria ametangazwa kuwa mshindi wa
kwanza wa mwaka 2013wa mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma
Qurani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka na kushirikisha vijana kutoka
nchi mbalimbali duniani huandaliwa na Taasisi ya King Abdul Aziz
International Qur’an contest.
Kabiru Abubacker Mousa alipewa riyal 100,000 sawa na shilingi milioni
42,900,900 kama mshindi wa tuzo ya kwanza, wakati Mohammed Abdul Kalam
Azad Najm kutoka Bangladesh alishinda Riyal 80,000 (sawa na shilingi
34,320,720) Washindi wengine ni Kareem Abdul Abubacker aliyepata Riyal
60,000 (sawa na shilingi 25,740,540), Ameen Mohammed Aftab Alam kutoka
Saudi Arabia Riyal 30,000 (sawa na shilingi12870270) na Khaled Mohammed
Jobi kutoka Mauritius Riyal 25,000 (sawa na shilingi 10,725,225).
Washindi wa kundi la pili wa kwanza alikuwa, Adel bin Mahmoud Al- Khair
Ghulam kutoka Saudi Arabia 90,000 (sawa na shilingi 38,610,810), wa pili
Ahmed bin Abdullah Al- Khalaf kutoka Saudi Arabia 70,000 (sawa na
shilingi 30,030,630), wa tatu Saeed Ahmed kutoka Bangladesh 50,000 (sawa
na shilingi 21450450) wa nne Mohammed Akram Al- Maleeki kutoka Yemen
25,000 (sawa na shilingi 10,725,225), na wa tano ni Suwayd Bilal Ishaq
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180).
Washindi wa kundi la tatu tuzo ya mshindi wa kwanza ilikwenda kwa Naeem
Balout kutoka Lebanon 80,000 (sawa na shilingi 34,320,720), wa pili
Rakan Ibrahim Khidr kutoka Iraq 60,000 (sawa na shilingi 25,740,540),
watatu Suleiman Abubacker Buji kutoka Nigeria 40,000 (sawa na shilingi
17,160,360), wanne ni Habibullah Sirajul Uislamu kutoka Bangladesh
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180)
watano ni Sham Saeed sham kutoka Tanzania 15,000 (sawa na shilingi
6,435,135).
Aidha, washiriki walipata nafasi kufanya Umra na kutembelea msikiti wa
Mtume masjid Nnabawiy
Akizungumzia mashindano hayo Basfar alisema yanatia moyo kwa vijana
kujifunza kusoma na kuhifadhi Qur'ani na kufuata njia ya maisha
inavyofundisha Qur'an na Sunnah na kuwaweka vijana mbali na vurugu za
kidunia.
Basfar Abdullah, katibu Mkuu wa taasisi ya mashindano ya kuhifadhi
Qur'an ya Kimataifa (IQMO ) aliiambia Arab News kwamba mashindano hayo
ndio mama wa mashindano yote Qurani duniani. Jumla ya washiriki 150
kutoka nchi 61 walishiriki katika mashindano hayo na Waziri wa Mambo ya
Kiislamu Saleh Al- Asheikh ndiye aliyakabidhi zawadi kwa washindi.
Zaidi ya wanafunzi 6,000 kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameshiriki
katika mashindano hayo ya King Abdul Aziz tangu kuanzishwa kwake miaka
35 iliyopita. Wao ni pamoja na Sheikh Abdul Rahman Al- Sudais , mkuu wa
Urais wa misikiti miwili Mtakatifu, na Ali Al- Thubaity , imam na Khatib
wa Msikiti wa Mtume ﷺ katika Madina.
Kushoto waziri wa mambo ya ndani ya kiislamu akimkabithi
mshindi wa pili Ahmed bin Abdullah Al-Khalaf.
Kulia ni Sheikh Abdul Rahman Al-Sudai
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Kijana Kabiru Abubacker Mousa kutoka Nigeria ametangazwa kuwa mshindi wa
kwanza wa mwaka 2013wa mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma
Qurani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka na kushirikisha vijana kutoka
nchi mbalimbali duniani huandaliwa na Taasisi ya King Abdul Aziz
International Qur’an contest.
Kabiru Abubacker Mousa alipewa riyal 100,000 sawa na shilingi milioni
42,900,900 kama mshindi wa tuzo ya kwanza, wakati Mohammed Abdul Kalam
Azad Najm kutoka Bangladesh alishinda Riyal 80,000 (sawa na shilingi
34,320,720) Washindi wengine ni Kareem Abdul Abubacker aliyepata Riyal
60,000 (sawa na shilingi 25,740,540), Ameen Mohammed Aftab Alam kutoka
Saudi Arabia Riyal 30,000 (sawa na shilingi12870270) na Khaled Mohammed
Jobi kutoka Mauritius Riyal 25,000 (sawa na shilingi 10,725,225).
Washindi wa kundi la pili wa kwanza alikuwa, Adel bin Mahmoud Al- Khair
Ghulam kutoka Saudi Arabia 90,000 (sawa na shilingi 38,610,810), wa pili
Ahmed bin Abdullah Al- Khalaf kutoka Saudi Arabia 70,000 (sawa na
shilingi 30,030,630), wa tatu Saeed Ahmed kutoka Bangladesh 50,000 (sawa
na shilingi 21450450) wa nne Mohammed Akram Al- Maleeki kutoka Yemen
25,000 (sawa na shilingi 10,725,225), na wa tano ni Suwayd Bilal Ishaq
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180).
Washindi wa kundi la tatu tuzo ya mshindi wa kwanza ilikwenda kwa Naeem
Balout kutoka Lebanon 80,000 (sawa na shilingi 34,320,720), wa pili
Rakan Ibrahim Khidr kutoka Iraq 60,000 (sawa na shilingi 25,740,540),
watatu Suleiman Abubacker Buji kutoka Nigeria 40,000 (sawa na shilingi
17,160,360), wanne ni Habibullah Sirajul Uislamu kutoka Bangladesh
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180)
watano ni Sham Saeed sham kutoka Tanzania 15,000 (sawa na shilingi
6,435,135).
Aidha, washiriki walipata nafasi kufanya Umra na kutembelea msikiti wa
Mtume masjid Nnabawiy
Akizungumzia mashindano hayo Basfar alisema yanatia moyo kwa vijana
kujifunza kusoma na kuhifadhi Qur'ani na kufuata njia ya maisha
inavyofundisha Qur'an na Sunnah na kuwaweka vijana mbali na vurugu za
kidunia.
Basfar Abdullah, katibu Mkuu wa taasisi ya mashindano ya kuhifadhi
Qur'an ya Kimataifa (IQMO ) aliiambia Arab News kwamba mashindano hayo
ndio mama wa mashindano yote Qurani duniani. Jumla ya washiriki 150
kutoka nchi 61 walishiriki katika mashindano hayo na Waziri wa Mambo ya
Kiislamu Saleh Al- Asheikh ndiye aliyakabidhi zawadi kwa washindi.
Zaidi ya wanafunzi 6,000 kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameshiriki
katika mashindano hayo ya King Abdul Aziz tangu kuanzishwa kwake miaka
35 iliyopita. Wao ni pamoja na Sheikh Abdul Rahman Al- Sudais , mkuu wa
Urais wa misikiti miwili Mtakatifu, na Ali Al- Thubaity , imam na Khatib
wa Msikiti wa Mtume ﷺ katika Madina.
Kushoto waziri wa mambo ya ndani ya kiislamu akimkabithi
mshindi wa pili Ahmed bin Abdullah Al-Khalaf.
Kulia ni Sheikh Abdul Rahman Al-Sudai
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Mahakama ya rufaa nchini Misri
imeamuru kuachiliwa huru kwa wanawake, 21 wakiwemo wasichana saba
waliofungwa jela mwezi jana kwa kuandaa maandamano ya kumuunga mkono
aliyekuwa Rais Mohammed Morsi.
Hata hivyo makundi ya kutetea haki za binadamu yamekosoa hukumu hiyo.
Mmoja wa wanaharakati hao walitaja hukumu hiyo kama ya wazimu.
Wanawake hao walifikishwa mahakamani wakiwa wamevalia nguo nyeupe huku wakiwa wamebeba maua ya waridi.
Aidha wanawake hao na watoto walishiriki maandamano ya kumuunga mkono aliyekuwa rais Morsi na jamaa zao wanasema ni maandamano ya kwanza waliyowahi kushiriki na kuyaendesha bila vurugu.
Mamia ya watu wameuawa nchini Misri tangu hatua ya kumwondoa Morsi mamlakani mwezi Julai kusababisha maandamano na vurugu nyingi.
Kijana Kabiru Abubacker Mousa kutoka Nigeria ametangazwa kuwa mshindi wa
kwanza wa mwaka 2013wa mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma
Qurani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka na kushirikisha vijana kutoka
nchi mbalimbali duniani huandaliwa na Taasisi ya King Abdul Aziz
International Qur’an contest.
Kabiru Abubacker Mousa alipewa riyal 100,000 sawa na shilingi milioni
42,900,900 kama mshindi wa tuzo ya kwanza, wakati Mohammed Abdul Kalam
Azad Najm kutoka Bangladesh alishinda Riyal 80,000 (sawa na shilingi
34,320,720) Washindi wengine ni Kareem Abdul Abubacker aliyepata Riyal
60,000 (sawa na shilingi 25,740,540), Ameen Mohammed Aftab Alam kutoka
Saudi Arabia Riyal 30,000 (sawa na shilingi12870270) na Khaled Mohammed
Jobi kutoka Mauritius Riyal 25,000 (sawa na shilingi 10,725,225).
Washindi wa kundi la pili wa kwanza alikuwa, Adel bin Mahmoud Al- Khair
Ghulam kutoka Saudi Arabia 90,000 (sawa na shilingi 38,610,810), wa pili
Ahmed bin Abdullah Al- Khalaf kutoka Saudi Arabia 70,000 (sawa na
shilingi 30,030,630), wa tatu Saeed Ahmed kutoka Bangladesh 50,000 (sawa
na shilingi 21450450) wa nne Mohammed Akram Al- Maleeki kutoka Yemen
25,000 (sawa na shilingi 10,725,225), na wa tano ni Suwayd Bilal Ishaq
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180).
Washindi wa kundi la tatu tuzo ya mshindi wa kwanza ilikwenda kwa Naeem
Balout kutoka Lebanon 80,000 (sawa na shilingi 34,320,720), wa pili
Rakan Ibrahim Khidr kutoka Iraq 60,000 (sawa na shilingi 25,740,540),
watatu Suleiman Abubacker Buji kutoka Nigeria 40,000 (sawa na shilingi
17,160,360), wanne ni Habibullah Sirajul Uislamu kutoka Bangladesh
20,000 (sawa na shilingi 8,580,180)
watano ni Sham Saeed sham kutoka Tanzania 15,000 (sawa na shilingi
6,435,135).
Aidha, washiriki walipata nafasi kufanya Umra na kutembelea msikiti wa
Mtume masjid Nnabawiy
Akizungumzia mashindano hayo Basfar alisema yanatia moyo kwa vijana
kujifunza kusoma na kuhifadhi Qur'ani na kufuata njia ya maisha
inavyofundisha Qur'an na Sunnah na kuwaweka vijana mbali na vurugu za
kidunia.
Basfar Abdullah, katibu Mkuu wa taasisi ya mashindano ya kuhifadhi
Qur'an ya Kimataifa (IQMO ) aliiambia Arab News kwamba mashindano hayo
ndio mama wa mashindano yote Qurani duniani. Jumla ya washiriki 150
kutoka nchi 61 walishiriki katika mashindano hayo na Waziri wa Mambo ya
Kiislamu Saleh Al- Asheikh ndiye aliyakabidhi zawadi kwa washindi.
Zaidi ya wanafunzi 6,000 kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameshiriki
katika mashindano hayo ya King Abdul Aziz tangu kuanzishwa kwake miaka
35 iliyopita. Wao ni pamoja na Sheikh Abdul Rahman Al- Sudais , mkuu wa
Urais wa misikiti miwili Mtakatifu, na Ali Al- Thubaity , imam na Khatib
wa Msikiti wa Mtume ﷺ katika Madina.
Kushoto waziri wa mambo ya ndani ya kiislamu akimkabithi
mshindi wa pili Ahmed bin Abdullah Al-Khalaf.
Kulia ni Sheikh Abdul Rahman Al-Sudai
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
Original from: http://www.googlehabari.blogspot.com/2013/12/mnigeria-ashinda-milioni-42-katika.html
Copyright EXEIdeas - All Rights Reserved
0 comments:
Post a Comment