Sep 24, 2013

TAARIFA KWA WANA MADRASA



Munirablog inawaomba wanaMadrasa wote nchini Tanzania kuitumia blog hii katika kubainisha utendaji wao wa kazi.

Kwa kuwa madhumini ya blog hii ni kutangaza habari za Waislamu na jamii kwa ujumla ni vyema muwasiliane nasi ili tuweze kuwafikia na hatimaye tuweke wazi Mafanikio na Changamoto mbalimbali zinazozikabili Madrasa zetu.

Tunaimani ipo faraja itakayopatikana kwa uwezo wa ALLAH.

Aidha Taasisi mbalimbali za Kiislamu zisisite kuwasiliana nasi.

Tupo kwa ajili yenu,tuiteni tuwaitikie.

TUPIGIE KWA NAMBA 0719/0786 46 47 00
                                              0713 44 16 39
                                              0658 316 316
                                              0712 68 24 57

NI MALENGO YA MUNIIRA MADRASA KUFIKIA HATUA HII INSHAA ALLAH.

 

0 comments:

Post a Comment