Kwa mujibu wa Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya DW mjini Bujumbura, Amida Issa,
anaripoti kuwa polisi ya taifa ya Burundi iliuzingira mtaa wa Buyenzi
mjini Bujumbura na Rumonge mkoani Bururi alfajiri ya Jumatano.
Kuuzingira mtaa huo kunatokana na
kile ilichosema ni kuwasaka wapiganaji wa Al-Shabaab na wanaowaunga
mkono.
Mitaa hiyo yote ina wakaazi wengi ambao ni Waislamu.
Burundi ni
miongoni mwa mataifa yaliyo na wanajeshi wake nchini Somalia.
0 comments:
Post a Comment