Marais wanne ni miongoni mwa mamilioni ya Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hijja katika mji mtukufu Wa Makka nchini Saudi Arabia.
Marais hao ni Omar Sheikh Wa Somalia, Omar al-Bashir Wa Sudan, Abdullahi Yameen Wa Maldives na Abdul Hamid Wa Bangladesh.
Ibada ya Hijja ni nguzo ya 5 katika dini ya Kiislamu, iliyifaradhishwa kwa waumini walio na nafasi nzuri ya kifedha.
Ibada hiyo huandamana na funga ya Arafa ambayo ni tarehe 9 ya mwezi Wa Dhulhijja, na kufuatia na sherehe za Iddul-Adh’ha, tarehe 10 ya mwezi huo katika kalenda ya Kiislamu.
0 comments:
Post a Comment