Kuna maelezo zaidi kuhusiana na shambulio iliyokuwa imepangwa jana ambapo ilifanyika kwenye Kituo cha upelelezi na Gereza iliyo karibu
na mji wa Mugadishu.
Duru
kutoka ndani ya Serikali ya FG iliambia SomaliMemo kuwa kwenye
shambulio hilo waliuawa zaidi ya Maaskari pamoja na Maofisa wakuu 15
ndani ya Majengo ya Gereza la Godka Jili'ow.
Pia
Wanajeshi wawili kutoka Uganda nao wameuawa kwenye shambulio hilo,Gari
iliyokuwa imejazwa vitu vya vilipuzi ililipuka nje ya Geti na
kusababisha hasara hiyo kubwa.
0 comments:
Post a Comment