Jeshi la polisi wilaya ya bunda kupitia
dawati la jinsia kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii mkoa wa
Mara imemfikisha mahakamani mzee mmoja mwenye umri wa miaka 54 Bw
Changwe Changige kwa kosa la kumuoa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka
minane.
Aug 31, 2014
MZEE WA MIAKA 54 AKAMATWA KWA KUMUOA MSICHANA WA MIAKA NANE TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment