Jul 30, 2014

SERIKALI YA TANZANIA YAONYWA

 


Khutba ya Swala ya Eidul fitri ulitolewa na kuongozwa na Sheikh Abdulaziz Hafidhahullah na kutoa ujumbe kwa Serikali kibaraka wa Tanzania juu ya kuendelea kuwasakama Waislaam wasio na hatia katika mjiji mbalimbali nchini Tanzania.

Sheikh Abdulaziz ameikumbusha na kuitahadhrisha Serikali ya Tanzania kuifuata njia ya Serikali ya Kenya ya kuivamia Ardhi ya Somalia pamoja na kuonywa kwake kabla lakini ilijiingia na kuivamia Kijeshi lakini amesema Shekhe matokeo yake leo ndio inashuhudiwa yanayowakuta wananchi wa Kenya na Serikali yao kwa ujumla wako taabani kutokana na matunda ya vita isiyoiweza.

Shekhe pia amegusia madhila ya Waislaam wa Zanzibaar na Mwanza ambao ndugu zao wanahangaika kuwatafuta pasina kuujua wanazuiliwa wapi na kuongeza kuwa Serikali Kibaraka ya Tanzania milango inayotaka kuufungia itashindwa kuufunga.

''..kenya ilitahadharishwa kuwavamia waislam wa Somalia imefungua mlango inayoshindwa kuufunga,haikusikia na sasa yahangaika kuufunga mlango ilioufungua yenyewe,na Twaiambia serikali ya Tanzania kuwa kwa kuwashika magerezani waislam wa Arusha,Mwanza,Zanzibar na kwingineko kwa kisingizio cha ugaidi,shikashika imekuwa sasa watu Znz hawajui ndugu zao walipo inataka kufungua mlango ambao itashindwa kuufunga",alisema Al Akh Abdulaziz Hafidhahullah.

Katika siku za hivi Karibuni Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza mradi wa kupambana na uislaam katika miji mbalimbali nchini kwa kuwakamata waislaam wasio na hatia na kuwafungulia kesi za Ugaidi huko wengine wakiuawa pasina kujulikana na kupigwa vibaya.

July 13,2014,Maaskari wa Kupambana na Uislaam walivamia nyumba na Markaz ya Sheikh Abuu Ismail Ibrahim Fakallaahu Asra iliyopo jijini mwanza na kumpiga yeye na Mwanfunzi wake huko wakimdhalilisha Mke wa Shekhe kwa kumvua Nguo na kisha waliondoka na Al Akh Abuu Ismail Fakallahu Asra.

Mpaka Sasa hajulikani Shekhe Abuu Ismail sehemu anakoshikiliwa yeye na baadhi ya Wanafunzi wake waliokamatwa ingawa kuna taarifa isiyothibitishwa inadai kuwa wanamshkilia Mji wa Arusha na mpaka sasa hajafikishwa Mahakamani kitendo ambacho ni kinyume na Sheria za kimataifa na haki za Binaadamu.
 
Habari hizi kwa msaada wa mtandao nchini somalia

0 comments:

Post a Comment