Mar 1, 2014

Mpango wa Kuwapiga msasa Vijana walio na Fikra ya Jihadi na Masjid Mussa kuitwa Masjid Shuhadaa.

Hatimae Msikiti iliyo na historia ya vugu vugu kubwa la vijana walio na fikra ya kusimamisha khilafa na Izza katika Mkoa mzima wa Pwani.

Taarifa iliyosambwazwa kwenye mitandao za Kijamii ilielezea kubadilishwa jina la zamani na kupewa jina inayostahiki ambapo waislaam kadhaa walipata kuwa Mashaidi kwenye Msikiti hiyo.
somalimemo



Kwanzia siki mbili zilizopita Msikiti huo ulipewa Jina la Mashaidi waliotangulia mbele ya haki na kukataa dhulma kutoka kwa Maadui wa Allah na Uislaam,Masjid Mussa kwa sasa unajulikana kwa jina la "MASJID SHUHUDAA".




MPANGO WA WANASIASA KUWAPIGA MISASA VIJANA WANAOWAACHIA

Baada ya Tukio la masjid Musa, kulishikwa zaidi ya Waislamu 100 na kupelekwa Gerezani kwa Tuhma ya Ugaidi na Mauwaji.


wengi kati ya hao walioshikwa walikuwa ni Vijana wadogo sana na Korti ikaamua waachiliwe huru, na kukatokea tokeo lapili lakuwachiliwa Waislamu huru, ambapo Vijana wanawake na hata Ndugu zetu wengine pia wakapata nafasi yakuwachiliwa huru na kurudi majumbani mwao.

somalimemo
Baadhi ya Vijana walioachiwa kutoka Gerezani wakila Mlo na Mwanasiasa wa mji wa Mombasa.


Matokeo yote mawili yalisimamiwa na Abu Joho, ndugu yake Mkubwa Haasan Joho na khabari zakuaminika zasema Abu ndie anaemsimamia Ndugu yake kwa kila kitu na ndie anaendesha mambo.



Kuachiliwa kwa ndugu zetu ni jambo lakufurahisha na ni jambo la Kheri, lakini imeamza kudhuhurika kuwa kitendo chakuwaacha huru hakikuwa Lillahi bali kuna malengo nyuma yake.



kwa Mfano Abu Joho wala Ndugu yake hawajasikika wakilaani kitendo cha mauwaji ya Waislamu waliokuwa hawana silaha wala hawajasikika kuzungumzia kuwatoa ndugu zetu ambao bado wako gerezani. Pia lilipochomwa Kanisa Hassan Joho alihudhuria na kutoa millioni moja kwa malengo yakusaidia ujenzi wa Kanisa hilo, lakini baada ya kunajisiwa Msikiti hajatoa hata ndururu yake ya haramu hata kwa malengo yakuwadanganya Waislamu.



Bali kuna ufununu kuwa uvamizi wenyewe ulikuwa umeamrishwa na huyu huyu Ambae sasa ajidai awasaidia Waislamu walioshikwa nae ni Abu Joho.



sasa yabidi tuulize jee hawa waliotolewa amewasaidia kwa kuwa wamedhulumiwa au amewatoa kwa muelekeo wa Serekali ambayo kuanzia na mwanzo haina haki kuwashtaki watu waliokuwa wamekaa kwa Amani ndani ya Msikitini.



Twauliza kwanini hawa walioshikwa na kutolewa hivi sasa walazimishwa kwenda kuonana na Ma-Shekhe kama vile Sheikh Nassor huko Masjid umm-Kulthum Serani kwa malengo yakuondolewa fikra walizokuwa nazo za Jihad.



halafu hupelekwa kwa Abu Joho na kulishwa Biriani na kupawa kila mtu kitu kidogo kabla yakwenda zao majumbani mwao. sasa Jee malengo yakuwatoa ni yapi ?

0 comments:

Post a Comment