Aug 14, 2014

PICHA:Mujahidina waudhibiti kikosi cha Vifaru 93 cha Serikali ya Asad nchini Syria.

Baada ya mapigano makali yaliodumu masaa kadhaa hatimae Wanajeshi wa Dola ya Kislaam wameudhibiti kiukamilifu kikosi kizima cha Vifaru 93 cha Utawala wa Bashar Al Asad nchini Syria.
Wilayatul Islamiah ya Raqqa ilisambaza Picha kadhaa zinazoonyesha Vikosi vya Mujahidina wa Dola ya Kislaam wakiingia ndani ya kikosi cha Vifaru na kuingia nao Mapigano makali dhidi ya Wanajeshi wa Kinuseyria wa Bashar Al Asad na mwishowe kwa uwezo wa Allah waliudhibiti Kambi hizo cha Kikosi cha Vifaru 93.

Habari zaidi zinaeleza kuwa kikosi hicho cha Vifaru 93 kilichodhibitiwa na Dola ya Kislaam pia walifanikiwa kuuchukua Ghanima za Magari za Kivita zaidi ya 46 pamoja na Ghala za Silaha na vifaa vingi vya kijeshi.

Ni mapigo mengine tena inayowafikia Wanajeshi wa Nidhamu ya Bashar Al Asad ya mkoa wa Raqqa ni mkoa pekee wanaoudhibiti kikamilifu na Mujahidina wa Dola ya Kislaam na ambapo hutumiwa Nidhamu ya Sheria za Kislaam

0 comments:

Post a Comment