Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud
akiwakabidhi Nguo na Vifaa vwengine Wananchi wa Wilaya ya Micheweni
Pemba baada ya kuunguliwa na moto nyumba zao hivi karibuni na
kulazimisha zaidi ya Familia kumi na tano kukosa mahali pa kukaa baada
ya nyumba zao kuungua moto.Akikabidhi viafaa hivyo kwa wananchi hao huko
micheweni
BAADHI ya wananchi wa shehia ya Shumba mjini wilaya ya Micheweni Pemba,
wakielekea kwenye makaazi yao, mara baada ya kukabidhiwa msaada wa magodoro na
vifaa vyengine, na waziri wa nchi afisi ya Makamu wa pili Mh: Mohamed Aboud
Mohamed kwa niaba ya rais wa Zanzibar.
WANANCHI
waliounguliwa moto nyumba zao hivi karibuni, shehi za shumba mjini na
Maziwang’ombe wilaya ya Micheweni, wakitafakari jinsi ya kusafirisha msaada wa
vitu mbali mbali ikiwa ni pamoja na magodoro, waliokabidhiwa na waziri wa nchi
afisi ya Makamu wa pili Mh: Mohamed Aboud Mohamed, kwa niaba ya rais wa
Zanzibar 

0 comments:
Post a Comment