Feb 9, 2014

Tamasha la Elimu Visiwani Zanzibar

Hawa ni baadhi ya waliohudhuria tamasha la elimu ambalo limeanza hivi punde,Tamasha hilo limeandaliwa na madrasat Muumin ya Mwembe shauri ya Michenzani Zanzibar


                                                           Kijana kutoka Madrasat Qadiriyah akisoma Qur_an tukufu

Mwanafunzi Kauthar Mbaraka wa Madrasat Muumin ya Zanzibar akiwasilisha Mada ya katika tamasha la elimu linaloendelea hivi sasa

 
                                       Mtoto Abdallah Ally wa Munira Madrasa akiwasilisha Mada

                                            Mtoto Hassan Sharif kutoka Munira Madrasa ya Dar es salaam naye akiwasilisha Mada

                                                     Khuzayma Bint Khamis kutoka Madrasat Muumin ya Zanzibar akitoa Mada

         Ramadhan Juma Rashid Mwanafunzi kutoka Munira Madrasa akiwasilisha Mada katika Tamasha la Elimu linaloendelea hivi sasa

                                                   Huyu ni Mtoto pekee mwenye Umri mdogo akiwasilisha Mada ya Hadithi

Usikose kufuatilia Matangazo yetu ya moja kwa moja kutokaVisiwani Zanzibar
 Picha na Habari kutoka Mwanahabari wetu Said Mohammed.

0 comments:

Post a Comment