Kwa mujibu wa taarifa iliyotufikia ni kwamba kuna ajali mbaya na ya kutisha imetokea imetokea leo
alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko eneo la Kawe
pembeni ya kambi ya JKT Mlalakuwa, Dar es Salaam.
Ajali hiyo imesababisha dereva kupoteza maisha na kuacha vipande vya
ubongo vikining’inia katika moja ya madaraja hayo, baada ya gari hilo
aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za usajili T220ABL kugonga na
kisha kuingia kwenye ukingo wa daraja na kisha kutumbukia kwenye mto.
Maiti iliondolewa asubuhi wakati ajali hiyo ilitokea kati ya saa 8 na
saa 9 alfajiri.
Dec 16, 2013
AJALI MBAYA DARAJANI KAWE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment