Huyu ni fundi saa ambaye hakufahamika jina lake mara baada ya kupokea kipigo kikali kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kumtuhumu kumlawiti mtoto wa kiume ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tatu wa shule moja jijini Arusha
NJEMBA mmoja ambaye ni
fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha
mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la
tatu wa shule moja jijini humo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
0 comments:
Post a Comment